Pages

Friday, July 1, 2011

 Ali Suleiman Akiwa mapokezi akisubiri
wateja awahudumie
 Rais Mstaafu wa Zanzibar Akiwa na Mkewe,
Mkuu wa Mkoa  Pamoja na Mkurugenzi Wa Zctv
Moh`d Al-Jabrr Na Mpiga Picha Wa zctv
 Rais Mstaafu wa Zanzibar Akiwa na Mkewe,
Mkuu wa Mkoa  Pamoja na Mkurugenzi Wa Zctv
Moh`d Al-Jabrr Na Editor  Wa zctv
 Mkurugenzi wa Zanzibar Cable Tv
Akiwa na Rais Mstaafu wa Zanzibar Mh:Amani A.Karume
Na Mkewe Pamoja na Mkuu Wa Mkoa Mh:Abdallah Mwinyi



 Mafundi Wa Zctv Wakisubiri Kuanza Kazi
 Staff wa zctv wakichagua kanzu kwa ajili ya Mwezi Mtukufu Wa
Ramadhani
 Kila Mmoja Akiwa Ameshachagua
 Mzee Wa katakata Yassin akionesha ya kwake
 Dereva kitunge akisubiri kuanza kazi akiwa kwenye gari

 Zctv Staff
Tayari kwa Kazi

No comments:

Post a Comment